Zaidi ya vijana 500 kupata ajira manispaa ya kinondoni jijini Dar es Salaam. | nyula blog

Habari Kila Pande

Breaking News
Loading...

Wednesday, January 27, 2016

Zaidi ya vijana 500 kupata ajira manispaa ya kinondoni jijini Dar es Salaam.



Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam kwa ushirikiano na jiji la Humberg la nchini Ujerumani wako katika hatua za mwisho za kukamilisha uanzishwaji wa kiwanda kikubwa cha mbolea itokanayo na  takataka ambapo kitasaidia upatikanaji wa ajira kwa wakazi wa manispaa hiyo zaidi ya 500.
Akizungumza jijini Dar es Salaam mara baada ya kumaliza mazungumzo na ugeni kutoka jijii la Humburg Nchini Ujeruamni uliomtembelea ofisini kwake, mstahiki meya, amesema kiwanda hicho kitaisaidia kupunguza tatizo la takataka katika manispaa hiyo kwa kuwa tata nyingi zitatumika katika uzalishaji huo wa mbolea ya kisasa.
 
Mradi huo unaotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi bilioni tatu na nusu, na unaoatarajiwa kujengwa katika eneo la Magwepande, amesema unatarajiwa kusaidia kupunguza tatizo la ajira kwa vijana  huku pia akitoa wito kwa wadau wengine wa maendeleo kufanya kazi na halimashauri hiyo.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin