Asilimia 15 ya Wtz kupata watoto wenye Selimundu | nyula blog

Habari Kila Pande

Breaking News
Loading...

Tuesday, June 14, 2016

Asilimia 15 ya Wtz kupata watoto wenye Selimundu

Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuelekea siku ya maadhimisho ya Selimundu inayoadhimishwa tarehe 17 mwezi Juni mwaka huu, Dk. Soka amesema kuna haja ya kuhamasisha watu kupima afya zao kabla ya kuamua kupata watoto kwani tatizo hilo litaongezeka zaidi katika jamii.
Aidha, Dkt. Soka ametoa wito kwa serikali kuangalia jinsi ya kuharakisha kupima vipimo kwa Watanzania ili wananchi waweze kujua afya zao na kufanya maamuzi kabla ya kuanzisha familia
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin