Hayo yamesemwa na afisa wa maji bonde la Ruvuma na Pwani ya kusini
Bw. Lazaro Msaru kwenye uzinduzi wa jumuiya ya watumia maji bonde la
Dogo la mto Ruvuma (Juwamuru) uliofanyika Peramiho mjini Songea na
kushirikisha wanajumuiya sabini wakiwemo watendaji wa kata na vijiji vya
mpakani mwa Tanzania na Msumbiji nchi zinazotenganishwa na mto Ruvuma
ambao una umuhimu mkubwa kwa nchi hizo mbili.
Katibu msaidizi wa jumuiya ya watumia maji bonde dogo la mto Ruvuma
(Juwamuru) Bw. Andrea Mapunda amesema kuwa tayari vyanzo vya maji
vimeshaharibiwa na jitihada za dhati zinatakiwa katika kuvitunza.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini