Wednesday, January 6, 2016 Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Amtembelea Rais Magufuli Na Kufanya Mazungumzo Nae Ikulu Jijini Dar Es Salaam . | nyula blog

Habari Kila Pande

Breaking News
Loading...

Wednesday, January 6, 2016

Wednesday, January 6, 2016 Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Amtembelea Rais Magufuli Na Kufanya Mazungumzo Nae Ikulu Jijini Dar Es Salaam .


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu Jijini Dar es salaam.
 
Katika Mazungumzo hayo Rais Mstaafu Kikwete amemtakia Rais Magufuli heri ya Mwaka mpya na kumpongeza kwa uongozi mzuri.
 
Rais Kikwete pia amesema anaunga mkono juhudi mbalimbali zinazofanywa na Rais Magufuli ikiwemo ukusanyaji wa mapato ya serikali.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kumaliza mazungumzo Ikulu Jijini Dar es Salaa
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin