Wakizungumza kwa nyakati tofauti baada ya kukabidhi kadi za
uanachama wa CHADEMA kwa Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa
Kagera,Bi.Costancia Buhiye wamesema wameamua kuihama CHADEMA na kujiunga
na CCM baada ya kuridhishwa na utendaji wa kazi wa Rais wa awamu ya
tano Dkt.John Pombe Magufuli kwa kuwa mambo waliyokuwa wakiyataka ndio
yanafanywa na Rais huyo.
Naye,Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Kagerabi.Costancia Buhiye
akizungumza baada ya kuwapokea wanachama hao waliojiunga na chama
amesema CCM kitaendelea kuwapokea wote waliokuwa wamepotea hasa
waliokuwa wamejiunga kwenye chama icho kwa ushabiki.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini