Wananchi wakipatiwa maelezo juu
ya tofauti ya simu halisi (Original) na simu zisizo halisi (Fake),
kutoka kwa maafisa wa kampuni ya simu ya Vodacom wakati wa maonyesho ya
simu kwenye viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam, Juni 11,
2016.
Afisa wa Vodacom kitengo cha
huduma kwa wateja, Eunice Dominic, akimpatia maelezo mteja wa Vodacom
alipotembelea banda la kampuni hiyo ya simu kwenye maonyesho ya simu
orijino, Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam Juni 11, 2016.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini