BajetiTz16: Kodi zilizoongezeka. | nyula blog

Habari Kila Pande

Breaking News
Loading...

Wednesday, June 8, 2016

BajetiTz16: Kodi zilizoongezeka.


Waziri wa Fedha na Mipango Dk Philip
Waziri wa Fedha na Mipango Dk Philip Mpango #BajetiTz16 
By Seif Kabelele na Elias Msuya
  • Vinywaji baridi kutoka Sh55 hadi Sh58
  • Juisi ya matunda ya nchini kutoka Sh10 hadi Sh11
  • Juisi kwa matunda yanayozalishwa nje, kutoka Sh200 hadi Sh200 kwa lita moja.
  • Bia iliyotengenezwa kwa nafaka ya ndani ambayo haijaoteshwa kutoka Sh409 hadi Sh430 kwa lita.
  • Bia nyinginezo kutoka Sh694 hadi Sh729
  • Bia zisizo na kilevi na nyingine zinazoongeza nguvu, kutoka Sh508 hadi Sh534.
  • Mvinyo uliotengenezwa kwa zabibu za ndani kwa zaidi ya kiwango kinachozidi asilimia 75, kutoka Sh192 hadi Sh202.
  • Zabibu inayozalishwa kwa zabibu za nje kwa kiwango kinachozidi asilimia 25, kutoka Sh2,130 hadi Sh2,237 kwa lita moja.
  • Ushuru wa bidhaa unaotozwa kwenye samani zinazoingizwa kutoka nje ya nchi kutoka asilimia 15 hadi asilimia 20, kwa lengo la kuhamasisha matumizi ya samani zinazotengenzwa nchini.
  • Kodi mpya ya asilimia 10 katika huduma ya kupokea fedha kwa mitandao ya simu badala ya kutoza tu kwa anayepokea
  • Kusajili magari juu kutoka Sh150,000 hadi Sh250,000
  • Kusajili pikipiki juu kutoka Sh45,000 hadi Sh95,000
  • Ada namba binafsi juu kutoka Sh5 milioni hadi Sh10 milioni  #BajetiTz16
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin