Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Amwakilisha Rais Magufuli Kwenye mkutano wa Kupambana na Rushwa, London . | nyula blog

Habari Kila Pande

Breaking News

Thursday, May 12, 2016

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Amwakilisha Rais Magufuli Kwenye mkutano wa Kupambana na Rushwa, London .


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozwa kuingia kwenye ukumbi wa Lancaster House, London nchini Uingereza kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi kuhusu mapambano dhidi ya rushwa, Mei 12, 2016. Waziri Mkuu Majaliwa alimwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano huo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (wa nne kulia) akishiriki katika Mazungumzo Rasmi ya Wakuu wa Nchi katika Mkutano kuhusu mapambano dhidi ya rushwa kwenye ukumbi Lancster House, London, nchini Uingereza Mei 12, 2016. Majaliwa alimwakilisha Rais John Magufuli katika mkutano huo(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin