Mmoja
wa vijana ambaye anasadikiwa ndiye aliyekuwa kinara wa kuhamasisha
maandamano ya wanafunzi wa vyuo vya Mtakatifu Joseph vya Tawi la Songea
vilivyofungwa na serikali akiwa chini ya ulinzi wa kikosi cha kuzuia
fujo FFU kutokana na kufanya maandamano kinyume cha utaratibu wakitaka
kwenda kumuona Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi wakati
walipodhibitiwa maeneo ya shule ya Bunge posta wakielekea wizarani leo.
TUME
ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) ilifuta kibali kilichoanzisha vyuo vikuu
viwili vishiriki vya Mtakatifu Joseph ambavyo ni Chuo Kikuu kishiriki
cha Sayansi ya Kilimo na Teknolojia (SJUCAST) na Chuo Kikuu kishiriki
cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (SJUIT) vilivyopo Songea.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini