Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia CHADEMA Joseph Mbilinyi
amemshangaa mh Rais John Magufuli kwa kitendo chake cha kutokusafiri nje
ya nchi, akichangia bungeni mbunge huyo alisema haiwezekani Rais abaki
amejifungia Dar badala yake anapaswa kusafiri nje ya nchi ili kwenda
kujifunza kwa marais wenzie.
Maoni
Je, hii ni mwendelezo wa viongozi wa CHADEMA kubadili gia angani!?
Je, hii ni mwendelezo wa viongozi wa CHADEMA kubadili gia angani!?
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini