Msanii mkongwe wa hip hop nchini, Afande Sele
amefunguka na kusema serikali ihalalishe matumizi ya bangi na si kukosoa
juu ya hoja iliyotolewa na mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma.
Ikiwa
imepita siku moja toka mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma (CCM),
kusema haoni sababu ya serikali kuzuia bangi kuwa zao la biashara kwa
maana haoni madhara yake huku akidai kwamba viroba vina madhara zaidi
kuliko bangi, Afande Sele amefunguka na kusema serikali ihalalishe
matumizi ya bangi na si kukosoa juu ya hoja hiyo ya Joseph Msukuma.
Afande Sele amedai kuwa kuna nchi ambazo tayari wao wamehalalisha matumizi ya bangi na kuthibitisha kuwa pombe ina madhara makubwa zaidi kuliko bangi.
"Legalize it, Don't criticize it. Korea, Kaskazini, Marekani, Mexico Uruguay na mataifa mengine ya Ulaya yamethibitisha pombe ina madhara kuliko Cannabis Sativa" Alisema Afande Sele.
Afande Sele amedai kuwa kuna nchi ambazo tayari wao wamehalalisha matumizi ya bangi na kuthibitisha kuwa pombe ina madhara makubwa zaidi kuliko bangi.
"Legalize it, Don't criticize it. Korea, Kaskazini, Marekani, Mexico Uruguay na mataifa mengine ya Ulaya yamethibitisha pombe ina madhara kuliko Cannabis Sativa" Alisema Afande Sele.
WITO UMETOLEWA KWA WAMILIKI WA SILAHA KUHAKIKI SILAHA ZAO
Pichani :Kamanda Liberatus Sabas, alipokuwa akifunga Kampeni za ABIRIA
PAZA SAUTI, Jijini Arusha,
Na Vero Ignatus wa Wazalendo 25 Blog, Arusha.
Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limewataka watu wote wanaomiliki silaha
kwa njia halali wafike kwenye kituo cha polisi kuhakiki silaha zao na
kuzilipia kama inavyostahili na kwa kufuata utaratibu kama sheria
inavyoagiza.
Hayo ya mesemwa Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Liberatus Sabas,
kwamba kila mwaka huwa kila mwenye silaha anafika polisi na silaha yake
na vitabu vyake kwaajili ya kuihahiki na kuilipia kama inavyostahili ,na
kama zipo tuhuma zozote kutokana na matumizi ya silaha, itasimamishwa
kwaajili ya taratibu zingine na kunyang’anywa hadi hapo jeshi
litakapojiridhisha kuwa silaha hiyo matumizi yake ni sahihi ama siyo
sahihi Kamanda amesema utaratibu huu huwa unaratibiwa na makao makuu ya
jeshi la polisi kwaajili ya kuhakiki silaha ,ikiwa ni pamoja na kulipia
mapato ya serikali ,amewataka watu wanaomiliki silaha wafuate masharti
yake kama inavyotakiwa, nawakumbuke sheria inambana kila mtu mara
anapotenda kosa ,na kama mtu akiitumia ndivyosivyo atanyang’anywa silaha
kwa kutumia sheria iliyowekwa.
Ameongeza kuwa wapo watu ambao wamewatishia silaha wenzao,na wengine
kesi zao zipo tayari na zingine zimefutiwa umiliki kwa mujibu wa sheria,
amesema kimsingi kabla mtu hajakabidhiwa silaha ili amiliki, yapo
masharti yakufuata na yapo kwenye kitabu kile cha leseni anachopewa
wakati wa umiliki, amesema kuwa ukitoka nje ya hayo masharti huna sifa
ya kumiliki silaha.
Kamanda Sabas ametoa anagalizo kwa wamiliki wa silaha na kusema kuwu
silaha ya moto siyo kama panga,silaha hiyo ukiifanyia kosa mara moja
yaweza kuua mtu au watu hivyo amewataka kuwa makini sana katika
ufuatiliaji wa umiliki, pamoja na namna zinavyotunzwa,amesema jeshi la
polisi lipo makini kufuatilia kwa ukaribu wakithibitisha silaha
haitunzwi kama inavyostahili utanyang’anywa.aidha amesema kwa wazee
amabao umri wao umeenda nab ado wanamiliki silaha huwa wanaichukua na
kuihifadhi .
Amehitimisha kwa kusema kuwa kila , mtu amnayetaka kumiliki silaha,
kamati za ulinzi na usalama kuanzia kwenye kata ,Wilaya, Mkoa
wakamuidhinisha kuwa na silaha afuate masharti na kuitunza silaha isije
ikaangukia kwenye mikono ya wahalifu wakaitumia isivyo halali sheria
itafuata mkondo wake, Silaha huwa zinatakiwa kulipiwa kila mwaka kuanzia
mwezi julai hadi septemba ukichelewa kulipia unapigwa penati kwa mujibu
wa sheria.
About Richard Mwaikenda
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
WITO UMETOLEWA KWA WAMILIKI WA SILAHA KUHAKIKI SILAHA ZAO
Pichani :Kamanda Liberatus Sabas, alipokuwa akifunga Kampeni za ABIRIA
PAZA SAUTI, Jijini Arusha,
Na Vero Ignatus wa Wazalendo 25 Blog, Arusha.
Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limewataka watu wote wanaomiliki silaha
kwa njia halali wafike kwenye kituo cha polisi kuhakiki silaha zao na
kuzilipia kama inavyostahili na kwa kufuata utaratibu kama sheria
inavyoagiza.
Hayo ya mesemwa Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Liberatus Sabas,
kwamba kila mwaka huwa kila mwenye silaha anafika polisi na silaha yake
na vitabu vyake kwaajili ya kuihahiki na kuilipia kama inavyostahili ,na
kama zipo tuhuma zozote kutokana na matumizi ya silaha, itasimamishwa
kwaajili ya taratibu zingine na kunyang’anywa hadi hapo jeshi
litakapojiridhisha kuwa silaha hiyo matumizi yake ni sahihi ama siyo
sahihi Kamanda amesema utaratibu huu huwa unaratibiwa na makao makuu ya
jeshi la polisi kwaajili ya kuhakiki silaha ,ikiwa ni pamoja na kulipia
mapato ya serikali ,amewataka watu wanaomiliki silaha wafuate masharti
yake kama inavyotakiwa, nawakumbuke sheria inambana kila mtu mara
anapotenda kosa ,na kama mtu akiitumia ndivyosivyo atanyang’anywa silaha
kwa kutumia sheria iliyowekwa.
Ameongeza kuwa wapo watu ambao wamewatishia silaha wenzao,na wengine
kesi zao zipo tayari na zingine zimefutiwa umiliki kwa mujibu wa sheria,
amesema kimsingi kabla mtu hajakabidhiwa silaha ili amiliki, yapo
masharti yakufuata na yapo kwenye kitabu kile cha leseni anachopewa
wakati wa umiliki, amesema kuwa ukitoka nje ya hayo masharti huna sifa
ya kumiliki silaha.
Kamanda Sabas ametoa anagalizo kwa wamiliki wa silaha na kusema kuwu
silaha ya moto siyo kama panga,silaha hiyo ukiifanyia kosa mara moja
yaweza kuua mtu au watu hivyo amewataka kuwa makini sana katika
ufuatiliaji wa umiliki, pamoja na namna zinavyotunzwa,amesema jeshi la
polisi lipo makini kufuatilia kwa ukaribu wakithibitisha silaha
haitunzwi kama inavyostahili utanyang’anywa.aidha amesema kwa wazee
amabao umri wao umeenda nab ado wanamiliki silaha huwa wanaichukua na
kuihifadhi .
Amehitimisha kwa kusema kuwa kila , mtu amnayetaka kumiliki silaha,
kamati za ulinzi na usalama kuanzia kwenye kata ,Wilaya, Mkoa
wakamuidhinisha kuwa na silaha afuate masharti na kuitunza silaha isije
ikaangukia kwenye mikono ya wahalifu wakaitumia isivyo halali sheria
itafuata mkondo wake, Silaha huwa zinatakiwa kulipiwa kila mwaka kuanzia
mwezi julai hadi septemba ukichelewa kulipia unapigwa penati kwa mujibu
wa sheria.
About Richard Mwaikenda
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
WITO UMETOLEWA KWA WAMILIKI WA SILAHA KUHAKIKI SILAHA ZAO
Pichani :Kamanda Liberatus Sabas, alipokuwa akifunga Kampeni za ABIRIA
PAZA SAUTI, Jijini Arusha,
Na Vero Ignatus wa Wazalendo 25 Blog, Arusha.
Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limewataka watu wote wanaomiliki silaha
kwa njia halali wafike kwenye kituo cha polisi kuhakiki silaha zao na
kuzilipia kama inavyostahili na kwa kufuata utaratibu kama sheria
inavyoagiza.
Hayo ya mesemwa Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Liberatus Sabas,
kwamba kila mwaka huwa kila mwenye silaha anafika polisi na silaha yake
na vitabu vyake kwaajili ya kuihahiki na kuilipia kama inavyostahili ,na
kama zipo tuhuma zozote kutokana na matumizi ya silaha, itasimamishwa
kwaajili ya taratibu zingine na kunyang’anywa hadi hapo jeshi
litakapojiridhisha kuwa silaha hiyo matumizi yake ni sahihi ama siyo
sahihi Kamanda amesema utaratibu huu huwa unaratibiwa na makao makuu ya
jeshi la polisi kwaajili ya kuhakiki silaha ,ikiwa ni pamoja na kulipia
mapato ya serikali ,amewataka watu wanaomiliki silaha wafuate masharti
yake kama inavyotakiwa, nawakumbuke sheria inambana kila mtu mara
anapotenda kosa ,na kama mtu akiitumia ndivyosivyo atanyang’anywa silaha
kwa kutumia sheria iliyowekwa.
Ameongeza kuwa wapo watu ambao wamewatishia silaha wenzao,na wengine
kesi zao zipo tayari na zingine zimefutiwa umiliki kwa mujibu wa sheria,
amesema kimsingi kabla mtu hajakabidhiwa silaha ili amiliki, yapo
masharti yakufuata na yapo kwenye kitabu kile cha leseni anachopewa
wakati wa umiliki, amesema kuwa ukitoka nje ya hayo masharti huna sifa
ya kumiliki silaha.
Kamanda Sabas ametoa anagalizo kwa wamiliki wa silaha na kusema kuwu
silaha ya moto siyo kama panga,silaha hiyo ukiifanyia kosa mara moja
yaweza kuua mtu au watu hivyo amewataka kuwa makini sana katika
ufuatiliaji wa umiliki, pamoja na namna zinavyotunzwa,amesema jeshi la
polisi lipo makini kufuatilia kwa ukaribu wakithibitisha silaha
haitunzwi kama inavyostahili utanyang’anywa.aidha amesema kwa wazee
amabao umri wao umeenda nab ado wanamiliki silaha huwa wanaichukua na
kuihifadhi .
Amehitimisha kwa kusema kuwa kila , mtu amnayetaka kumiliki silaha,
kamati za ulinzi na usalama kuanzia kwenye kata ,Wilaya, Mkoa
wakamuidhinisha kuwa na silaha afuate masharti na kuitunza silaha isije
ikaangukia kwenye mikono ya wahalifu wakaitumia isivyo halali sheria
itafuata mkondo wake, Silaha huwa zinatakiwa kulipiwa kila mwaka kuanzia
mwezi julai hadi septemba ukichelewa kulipia unapigwa penati kwa mujibu
wa sheria.
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
WITO UMETOLEWA KWA WAMILIKI WA SILAHA KUHAKIKI SILAHA ZAO
Pichani :Kamanda Liberatus Sabas, alipokuwa akifunga Kampeni za ABIRIA
PAZA SAUTI, Jijini Arusha,
Na Vero Ignatus wa Wazalendo 25 Blog, Arusha.
Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limewataka watu wote wanaomiliki silaha
kwa njia halali wafike kwenye kituo cha polisi kuhakiki silaha zao na
kuzilipia kama inavyostahili na kwa kufuata utaratibu kama sheria
inavyoagiza.
Hayo ya mesemwa Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Liberatus Sabas,
kwamba kila mwaka huwa kila mwenye silaha anafika polisi na silaha yake
na vitabu vyake kwaajili ya kuihahiki na kuilipia kama inavyostahili ,na
kama zipo tuhuma zozote kutokana na matumizi ya silaha, itasimamishwa
kwaajili ya taratibu zingine na kunyang’anywa hadi hapo jeshi
litakapojiridhisha kuwa silaha hiyo matumizi yake ni sahihi ama siyo
sahihi Kamanda amesema utaratibu huu huwa unaratibiwa na makao makuu ya
jeshi la polisi kwaajili ya kuhakiki silaha ,ikiwa ni pamoja na kulipia
mapato ya serikali ,amewataka watu wanaomiliki silaha wafuate masharti
yake kama inavyotakiwa, nawakumbuke sheria inambana kila mtu mara
anapotenda kosa ,na kama mtu akiitumia ndivyosivyo atanyang’anywa silaha
kwa kutumia sheria iliyowekwa.
Ameongeza kuwa wapo watu ambao wamewatishia silaha wenzao,na wengine
kesi zao zipo tayari na zingine zimefutiwa umiliki kwa mujibu wa sheria,
amesema kimsingi kabla mtu hajakabidhiwa silaha ili amiliki, yapo
masharti yakufuata na yapo kwenye kitabu kile cha leseni anachopewa
wakati wa umiliki, amesema kuwa ukitoka nje ya hayo masharti huna sifa
ya kumiliki silaha.
Kamanda Sabas ametoa anagalizo kwa wamiliki wa silaha na kusema kuwu
silaha ya moto siyo kama panga,silaha hiyo ukiifanyia kosa mara moja
yaweza kuua mtu au watu hivyo amewataka kuwa makini sana katika
ufuatiliaji wa umiliki, pamoja na namna zinavyotunzwa,amesema jeshi la
polisi lipo makini kufuatilia kwa ukaribu wakithibitisha silaha
haitunzwi kama inavyostahili utanyang’anywa.aidha amesema kwa wazee
amabao umri wao umeenda nab ado wanamiliki silaha huwa wanaichukua na
kuihifadhi .
Amehitimisha kwa kusema kuwa kila , mtu amnayetaka kumiliki silaha,
kamati za ulinzi na usalama kuanzia kwenye kata ,Wilaya, Mkoa
wakamuidhinisha kuwa na silaha afuate masharti na kuitunza silaha isije
ikaangukia kwenye mikono ya wahalifu wakaitumia isivyo halali sheria
itafuata mkondo wake, Silaha huwa zinatakiwa kulipiwa kila mwaka kuanzia
mwezi julai hadi septemba ukichelewa kulipia unapigwa penati kwa mujibu
wa sheria.
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini