kabla ya Mh rais kutunuku kamisheni hizo alikagua Gwaride na kutoa zawadi kwa wahitimu waliofanya vizuri darasani na pia kwenye medani akiwemo mwanafunzi mwanamke kutoka Kenya.
Baada ya Mh rais kutunuku kamishen kwa maafisa hao ambao 10
wanatoka nchi rafiki ikiwemo Kenya na Burundi na 16 kati ya wote wakiwa
ni wanawake walikula kiapo cha utii kwa Mh rais.
Katika sherehe hizo zilihudhuriwa na viongozi na watendaji
mbalimbali wa serikali wakiwemo waziri wa ulinzi Dr Husein Mwinyi mkuu
wa majeshi Generali Davis Mwamunyange na mkuu wa majeshi mstaafu General
Mrisho Sarakikya.
Wengine ni pamoja na katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue mkuu
wa mkoa wa Arusha Daud Felexs Ntebenda wakuu wa wilaya za mkoa wa Arusha
wawakilishi kutoka nchi jirani na wanachi.
Shereh hizo zilipambwa na burudani ya vikundi vya ngoma kikiwemo cha jeshi la kujenga taifa kambi ya Oljoro.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini