Papa Francis awaomba radhi waprotestanti | nyula blog

Habari Kila Pande

Breaking News
Loading...

Monday, January 25, 2016

Papa Francis awaomba radhi waprotestanti

Papa Francis
Katika hatua ya kujumuisha umoja wa kikristo,Papa Francis amewaomba radhi waamini wa kiprotestanti kutokana na historia ya unyanyasaji walioupata kutoka kanisa katoliki.
Hata hivyo Papa Francis amewataka waamini wa kanisa katoliki pia kuwasamehe wale ambao waliwakosea ili wasiruhusu makosa yaliyotendeka nyuma kuwa sumu ya mahusiano ya sasa.
Kufuatia tamko hilo msemaji wa Vatcan ametangaza kuwa Papa Francis atazuru mji wa Lund uliopo Swedish eneo ambalo jumuiya ya kilutheli ilianzishwa na kuanzisha thehebu la kilutheri karne tano zilizopita.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin