Mwenyekiti Wenu Kwenye Kazi . | nyula blog

Habari Kila Pande

Breaking News
Loading...

Tuesday, January 26, 2016

Mwenyekiti Wenu Kwenye Kazi .



Ni kuendesha mijadala huru. Kama mwalimu, darasani mimi kazi yangu ni kama ya mkunga. Kazi ya kuzalisha maarifa mapya yatokanayo na fikra huru zinazokinzana zinapopambanishwa kwa hoja.
Pichani nikiendesha mjadala na wanafunzi vijana kutoka vyuo mbalimbali vya Marekani walio kwenye programu ya mafunzo Ruaha University. Kwa kidogo ninachokijua anayetaka kunikaribisha chuoni kwao niweze ku-share uzoefu wangu kwenye maeneo mbalimbali nitafurahi kupata mwaliko. Niko tayari pia kujitolea tu. Isiwe ni vijana Wamarekani tu wanaokuja kuchota uzoefu wetu unaowasaidia sana kwenye masomo yao.
Na mwandishi wetu.
Iringa.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin