Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Chiku Galawa.
Katika
kikao chake na maafisa hao,Galawa amewaagiza maafisa hao kuwa na majina
na idadi ya watumishi wote waliopo katika maeneo yao ili kuwezesha
utunzaji mzuri wa rekodi za watumishi.
Wakati huo huo Galawa ameziagiza halmashauri zote mkoani hapa kuleta orodha ya watumishi wote wakiwamo waliopo masomoni ambapo taarifa zao zinapaswa kuonesha walianza lini masomo na wanataraji kumaliza lini.
Amesema taarifa hizo zitaiwezesha serikali kuwa na takwimu sahihi za watumishi waliopo sambamba na sifa za kitaaluma sambamba na mapungufu yaliyopo katika kada tofauti za utumishi wa umma.
Wakati huo huo Galawa ameziagiza halmashauri zote mkoani hapa kuleta orodha ya watumishi wote wakiwamo waliopo masomoni ambapo taarifa zao zinapaswa kuonesha walianza lini masomo na wanataraji kumaliza lini.
Amesema taarifa hizo zitaiwezesha serikali kuwa na takwimu sahihi za watumishi waliopo sambamba na sifa za kitaaluma sambamba na mapungufu yaliyopo katika kada tofauti za utumishi wa umma.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini