Kuchanganya Biashara, Uchumi na Siasa Kunatusababisha Tutoe Majibu Mepesi Katika Maswali Magumu | nyula blog

Habari Kila Pande

Breaking News
Loading...

Monday, September 5, 2016

Kuchanganya Biashara, Uchumi na Siasa Kunatusababisha Tutoe Majibu Mepesi Katika Maswali Magumu


TRA wanapotoa statement kuhusu kupungua kwa mizigo kunakotokana na ongezeko la kodi na kusema kuna Propaganda dhidi yao, kuna tofauti gani na Mbowe kusema kuondolewa kwake na NHC pale Bilicanas ni kwa sababu za kisiasa na kwamba ni kwa kuwa yeye Mpinzani? ....
Tuna tatizo kama nchi.

Kuchanganya Biashara, uchumi na siasa kunatusababisha tutoe majibu mepesi ktk maswali magumu.
#KuanzaUpyaSiUjinga.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin