Magufuli: Ni Muujiza Kushikana Mkono na Lowassa | nyula blog

Habari Kila Pande

Breaking News
Loading...

Sunday, August 28, 2016

Magufuli: Ni Muujiza Kushikana Mkono na Lowassa




Rais Magufuli amesema anashukuru hafla ya Jubilei ya Miaka 50 ya ndoa ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa kuleta muujiza wa kukutana na kupeana mkono na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa

Kauli hiyo aliitoa jana katika hotuba yake Baada ya kumalizika kwa misa takatifu ya maadhimisho ya Juibilei hiyo iliyofanyika katika kanisa la mtakatifu Petro  Oysterbay, Dar es Salaam
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin