Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jecha Salim Jecha alitangaza terehe hiyo kupitia Televisheni ya Zanzibar (TVZ) leo mchana kisiwani humo.
Jecha Salim Jecha alitangaza kufuta matokeo ya uchaguzi uliofanyika Oktoba 25 mwaka uliopita.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini