Wayne Rooney apata mtoto. | nyula blog

Habari Kila Pande

Breaking News
Loading...

Monday, January 25, 2016

Wayne Rooney apata mtoto.


Wayne Rooney alikuwa na furaha kama baba alipotuma picha nzuri Instagram ya mwanae mwingine, Kit, akiwa na umri wa dakika kadhaa
Wayne Rooney alikuwa na furaha kama baba alipotuma picha nzuri Instagram ya mwanae mwingine, Kit, akiwa na umri wa dakika kadhaa
Alikaribisha mtoto wa tatu wa kiume duniani wikiendi hii.
Siku ya Jumatatu, Wayne Rooney alikuwa na furaha kama baba alipotuma picha nzuri Instagram ya mwanae mwingine, Kit, akiwa na umri wa dakika kadhaa.
“Nakutana na Kit kwa mara ya kwanza. Muda wa kwenda nyumbani sasa,” mchezaji huyo aliandika katika picha hiyo.
Rooney na mkewe Coleen wana watoto wengine Kai (kushoto) na Klay (kulia)
Rooney na mkewe Coleen wana watoto wengine Kai (kushoto) na Klay (kulia)
Rooney, 30, na mkewe Coleen walitangaza kuzaliwa kwa mtoto wao wa kiume – waliompa jina la Kit Joseph Roone – siku ya Jumapili.
Awali Coleen, 29, aliwahi kuzungumza kuwa anatamani kupata mtoto wa kike.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini

google+

linkedin