Katibu Mkuu wa Kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na maendeleo, UNCTAD, Dkt. Mukhisa Kituyi
Hiyo
ni kwa mujibu wa ripoti ya awali ya makadirio ya uwekezaji mwaka 2015
kimataifa iliyotolewa na Kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na
maendeleo, UNCTAD, mwezi huu wa Januari ambapo kwa mujibu wa ripoti
hiyo, mataifa mengi ya Afrika yameshuhudia kushuka kwa uwekezaji wa
kigeni hususani yale ya Kusini mwa Sahara.
Katibu Mkuu wa UNCTAD, Dkt. Mukhisa Kituyi ametaja sababu za mataifa ya Afrika kusini mwa Sahara kukumbwa na hali hiyo inatoka na mataifa makubwa kuanza kujitoa katika nchi walizokuwa wanawekeza katika rasimali ya mafuta
Mataifa ya Afrika yaliyoko kaskazini kama vile Misri yalishuhudia kuongezeka kwa uwekezaji huku Marekani ndio kidedea katika nchi kumi zilizopata uwekezaji wa juu zaidi, nyingine ni China, Uingereza na Ufaransa ikichukua nafasi ya kumi.
Katibu Mkuu wa UNCTAD, Dkt. Mukhisa Kituyi ametaja sababu za mataifa ya Afrika kusini mwa Sahara kukumbwa na hali hiyo inatoka na mataifa makubwa kuanza kujitoa katika nchi walizokuwa wanawekeza katika rasimali ya mafuta
Mataifa ya Afrika yaliyoko kaskazini kama vile Misri yalishuhudia kuongezeka kwa uwekezaji huku Marekani ndio kidedea katika nchi kumi zilizopata uwekezaji wa juu zaidi, nyingine ni China, Uingereza na Ufaransa ikichukua nafasi ya kumi.
Download Video and Put Comment
Toa Maoni Hapa Chini